Mswahii mwenzangu ni
MAKUBWAA!!!
Katika hali inayoashiria kuwa
vichwa vya wanadamu ndio vimevuurugwaa na sio dunia kama inavyodaiwa na watu
wengi, hivi karibuni watu wawili ambao majina yao hayakupatikana haraka wamekutwa wakipeana
‘tunda’ ndani ya gari bila wasiwasi wowote.
Ewe Mswahili mwenzangfu hivi
ni PEPO GANI HASA ALIYEIKUMBA HII NCHI YETU???? Au ni athari za Kuuvamia
UTANDAWAZI?
Wakati wenzetu wananufaika na
Utandawazi, kwetu sisi tunaangamia nao.
Domo la Mswahili.

No comments:
Post a Comment