MISS Tanzania 2011, Salha
Miss Tanzania 2011, Salha Israel .
Akizungumza na
Ijumaa kwenye mahojiano maalum hivi karibuni ndani ya ofisi za gazeti hili,
Salha alikiri kuwepo kwa watu wenye nia mbaya wanaotumia utajiri wao kujipatia
wasichana hali inayosababisha kuichafua Miss Tz.“Kusema ukweli nilipokuwa kwenye shindano hili sikupata usumbufu
“Nikawa napigiwa simu na watu nisiowajua huku wengine wakitaka nionane nao, nimekuwa nikiwakwepa ila ni wasumbufu mno,” alisema Salha aliyekuwa ameongozana na wadogo zake Sabra na Sam
ier


No comments:
Post a Comment