Msanii
wa muziki wa kizazi kipya anayetamba na ngoma yake inayokwenda kwa jina la
TUPOGO, Ommy Dimpoz ataikumbuka siku hii hapa [pichani] ambapo akiwa Ughaibuni
huko USA, shabiki wake alipata kumualika na kumuandalia menyu kama uonavyo
katika picha hii……HONGERA Bro hayo ndio MARUPURUPU YA USANII BONGO
No comments:
Post a Comment