Nyie waganga acheni kuwalaghai mama zetu hakuna dawa ya
kufanya ngono hata moja acheni kabisa huo mchezo..!Na nyie wamama mnaopenda
kwenda kwa waganga embu jalini na utu wenu sio mnagawa tu kwa waganga bila
kupima ombi la mganaga hakuna tiba ya mapenzi bhana..! Aaaaaaaaaaalah

No comments:
Post a Comment